Usafiri wa treni reli ya kati waanzia Dodoma.
January 27 | Posted by admin | Habari KitaifaNa Fatma Gaffus, Dodoma. Usafiri wa Reli ya Kati umeanza wakati ujenzi katika Daraja la Godegode wilayani Mpwapwa ukiendelea. Akizungumza na Star Tv, Mkuu wa Kituo wa Kampuni ya Reli Mkoa wa Dodoma Bwana Flavian Nyawale amesema wamechukua hatua hiyo ya kuanza huduma za safari za Treni kutokaDodomakwenda Kigoma kutokana na maeneo ya Gulwe, Godegode na Kidete kuwa korofi ...



