Habari Kitaifa
CUF waiunga mkono JUKITA. »
Na Immaculate Kilulya, Dar Es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahimu Lipumba amesema chama [...]
Habari za Biashara
Viongozi wakuu wa nchi »
Na Joyce Mwakalinga, Dar Es Salaam. Marais wa Nchi tatu na Mawaziri wenye dhamana za usafirishaji [...]
Wakulima Mkoani Manyara »
Na Zacharia Mtigandi, Manyara. Wakulima wa zao la pamba mkoani manyara wamedai kuwa, dawa [...]
Habari Kitaifa
Wananchi watakiwa kupuuza vipeperushi.
Na Philipo Lulale, Mtwara. Polisi mkoani Mtwara imewataka wananchi katika manispaa ya Mtwara Mikindani kuendelea na shughuli zao kama kawaida siku ambayo bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini itawasilishwa bungeni bila kujali vishawishi vilivyotolewa na watu wasiojulikana kuwataka wafunge shughuli zao. Hatua hiyo inaletwa baada ya ujumbe [...]
CUF waiunga mkono JUKITA.
Na Immaculate Kilulya, Dar Es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahimu Lipumba amesema chama hicho hakitaunga mkono mabadiliko ya Katiba mpya nchini yasiyokidhi matakwa ya watanzania. Profesa Lipumba amesema mfumo wa uwazi na uhuru wa mawazo yenye tija ni vema ukazingatiwa ili kufikia ukomavu wa kidemokrasia [...]
Miundombinu, vichwa vya Treni changamoto.
Na Magreth Tengule, Dodoma. Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe amesema pamoja na jitihada za kuboresha usafiri wa reli nchini bado kuna changamoto kubwa zinazowakabili kama wizara ikiwemo uchakavu wa miundombinu ya reli pamoja na uchache wa vichwa vya Treni. Dokta Mwakyembe amebainisha hayo bungeni mjini Dodoma [...]
Kissfm Live
»
// // // // [Read More]
Habari za Michezo
David Moyes Kocha »
Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja [...]
Sir Alex Ferguson »
Mabingwa wa Ligi Kuu nchini England, Manchester United wametangaza kwamba, Sir Alex [...]
Ujumbe wa Uingereza »
Na Ahmed Ally, Dar Es Salaam. Ujumbe kutoka England uliopo nchini kukagua miundo mbinu [...]
Habari za Kimataifa
Maafisa wa usalama wa Misri »
Maafisa saba wa usalama wa Misri, wametekwa nyara na watu wasiojulikana katika Rasi ya Sinai , kwa mujibu wa maafisa wa Misri. Maafisa hao , Polisi watatu na wanajeshi wanne walitekwa wakati wakisafiri katika basi dogo Kaskazini mwa Sinai mashariki mwa mji wa El [Read More]
More Habari za Kimataifa Headlines
- Waasi waondoka katika makao ya...
- Boko Haram wawateka watoto na...
- Askari wa Umoja wa Mataifa auawa...
- DRC eneo baya zaidi kwa mama kulea...
- David Cameron: “Somalia...
- Wasingizia umaskini kuwatumikisha...
- Hosni Mubarak arejeshwa jela Misri.
- Mzozo kuhusu makampuni ya Mandela
- Boko Haram wakataa msamaha Nigeria
- Wanajeshi wa India wauawa Sudan...







