Usafiri wa treni reli ya kati waanzia Dodoma.

January 27 | Posted by admin | Habari Kitaifa

Na Fatma Gaffus, Dodoma.    Usafiri wa Reli ya Kati umeanza wakati ujenzi katika Daraja la Godegode wilayani Mpwapwa ukiendelea. Akizungumza na Star Tv, Mkuu wa Kituo wa Kampuni ya Reli Mkoa wa Dodoma Bwana Flavian Nyawale amesema wamechukua hatua hiyo ya kuanza huduma za safari za Treni kutokaDodomakwenda Kigoma kutokana na maeneo ya Gulwe, Godegode na Kidete kuwa korofi ...

Tweet This Post
... Read more

Mgomo wa madaktari, Morogoro nao wakumbwa wakati mgumu

January 27 | Posted by admin | Habari Kitaifa

Na Kasilda Mlimila, Morogoro. Wakati huo huo, mgomo wa madaktari ulioanza Januari 24 mwaka huu katika hospitali ya taifa Muhimbili na kusambaa kwenye mikoa... Read more

Wanachama 1,122 wa CUF Ilemela wajiondoa

January 27 | Posted by admin | Habari Kitaifa

Na Mwandishi wetu Wanachama 1,122 wa Chama cha Wananchi CUF wilayani Ilemela mkoani Mwanza wamejivua Uanachama kwa madai kuwa chama hicho kina ombwe... Read more

Kuingizwa hifadhi ya Saadani, Wananchi Pangani wailalamika Serikali

January 27 | Posted by admin | Habari Kitaifa

Na Omar Masoud,                                           Dar es Salaam.  Wananchi wa kijiji cha Mbulizaga katika kata ya Mkaramo wilayani Pangani mkoani Tanga wameilalamikia Serikali kwa madai ya... Read more

Kenyatta, Muthaura waachia ngazi Kenya.

January 27 | Posted by admin

Waziri wa fedha wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameachia nafasi yake kufuatia uamuzi... Read more

Rais Goodluck: Boko Haram jitambulisheni.

January 27 | Posted by admin

Rais wa Nigeria ameliambia kundi la kiislamu la Boko Haram wajitambulishe na... Read more

Sudan: Marais wakutana Addis Ababa.

January 27 | Posted by admin

Marais wa Sudan Kusini na Sudan wanakutana mjini Addis Ababa, Ethiopia katika... Read more

DRC: Matokeo ya ubunge yatangazwa DRC

January 27 | Posted by admin

Matokeo ya uchaguzi ya ubunge katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yametangazwa... Read more

EAF yatengua adhabu ya Kenenisa Bekele.

January 26 | Posted by admin

Shirikisho la riadha la Ethiopia EAF limetengua adhabu ya kusimamishwa mwanariadha  mahiri... Read more

Bondia Nyalawila avuliwa ubingwa wa Dunia.

January 26 | Posted by admin

Na Ahmed Ally ,             Dar es Salaam.    Shirikisho la Kimataifa la Ngumi za Kulipwa... Read more

Ligi Kuu Bara, Simba na Azamfc zang’ara.

January 26 | Posted by admin

Na Jacob Marcus Mabao yaliyofungwa na wachezaji Haruna Moshi na Gervas Kago katika... Read more

Tevez aingia hasara ya paundi milioni 9.

January 25 | Posted by admin

Mzozo baina ya Carlos Tevez na Manchester City umemgharimu mshambuliaji huyo wa... Read more