The Sound Of Africa
Sunday May 19th 2013

Habari za Biashara

Viongozi wakuu wa nchi kujadili reli Maziwa Makuu. Viongozi wakuu wa nchi »

Na Joyce Mwakalinga, Dar Es Salaam. Marais wa Nchi tatu na Mawaziri wenye dhamana za usafirishaji [...]


Wakulima Mkoani Manyara walalamikia dawa kuharibu mazao Wakulima Mkoani Manyara »

Na Zacharia Mtigandi, Manyara.   Wakulima wa zao la pamba mkoani manyara wamedai kuwa,  dawa [...]


DUWASA yaagizwa kutatua tatizo. DUWASA yaagizwa kutatua »

Na Henry Masanja/ Twaha Kivale                               Dodoma SERIKALI [...]


Habari Kitaifa

Wananchi watakiwa kupuuza vipeperushi.

Wananchi watakiwa kupuuza vipeperushi.

Na Philipo Lulale, Mtwara. Polisi mkoani Mtwara imewataka wananchi katika manispaa ya Mtwara Mikindani kuendelea na shughuli zao kama kawaida siku ambayo bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini itawasilishwa bungeni bila kujali vishawishi vilivyotolewa na watu wasiojulikana kuwataka wafunge shughuli zao. Hatua hiyo inaletwa baada ya ujumbe [...]

CUF waiunga mkono JUKITA.

CUF waiunga mkono JUKITA.

Na Immaculate Kilulya, Dar Es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahimu Lipumba amesema chama hicho hakitaunga mkono mabadiliko ya Katiba mpya nchini yasiyokidhi matakwa ya watanzania. Profesa Lipumba amesema mfumo wa uwazi na uhuru wa mawazo yenye tija ni vema ukazingatiwa ili kufikia ukomavu wa kidemokrasia [...]

Miundombinu, vichwa vya Treni changamoto.

Miundombinu, vichwa vya Treni changamoto.

Na Magreth Tengule, Dodoma. Waziri wa Uchukuzi Dokta Harrison Mwakyembe   amesema pamoja na jitihada za kuboresha usafiri wa reli nchini bado kuna changamoto kubwa zinazowakabili kama wizara ikiwemo uchakavu wa miundombinu ya reli pamoja na uchache wa vichwa vya Treni. Dokta Mwakyembe amebainisha hayo bungeni mjini Dodoma [...]

Find Us On Facebook

Wasemavyo Wasikilizaji na Wasomaji

Kissfm Live

»

// // // // [Read More]


Habari za Michezo

David Moyes Kocha Mpya wa Man United. David Moyes Kocha »

Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja [...]


Sir Alex Ferguson astaafu rasmi Man Utd. Sir Alex Ferguson »

Mabingwa wa Ligi Kuu nchini England, Manchester United wametangaza kwamba, Sir Alex [...]


Ujumbe wa Uingereza waelekea Malya. Ujumbe wa Uingereza »

Na Ahmed Ally, Dar Es Salaam. Ujumbe kutoka England uliopo nchini kukagua miundo mbinu [...]